Dar es Salaam. Benki ya Absa Tanzania imesema itaendelea kuunga mkono juhudi mbalimbali zenye lengo la kuhakikisha wanawake wa Tanzania wanapiga hatua za kimaendeleo mahali pa kazi.
Sumbawanga. Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Sumbawanga, imemkuta Budagala Shija, mkazi wa Wilaya ya Tanganyika, na kesi ya ...
Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema Serikali inatarajia kuona elimu ya Qur'an ikianza kutolewa ...
Mkuu huyo wa nchi amesema Mkoa wa Tanga umepokea Sh3.1 trilioni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali, hivyo ziara yake inalenga kujionea fedha hizo zimefanya kazi gani.
Mwalimu huyo wa madrasa ambaye picha za tukio hilo zilienea kwenye mitandao ya kijamii, alikamatwa baada ya kuonekana ...
Rais Samia Suluhu Hassan alipowasili katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mkata Mashariki kwa ajili ya mkutano wa hadhara na wananchi wa Wilaya ya Handeni, mkoani Tanga, ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara ...
Mara ya mwisho Rais Samia alitembelea mkoani humo, Machi mwaka 2021 akiwa Makamu wa Rais na ndio iliyokuwa ziara yake ya ...
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinatathmini uendeshaji wa viwanja vyake vya michezo ili kuangalia uwezekano wa kuuboresha ...
Dar es Salaam. Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme nchini (ETDCO) imebuka ...
Hatua hii inalenga kuhakikisha Tanzania inakuwa na rasilimali watu ya kutosha kushiriki kikamilifu katika sekta ya mafuta na ...
Mbali na Mwakagenda, wengine ni Halima Mdee, Esther Matiko, Grace Tendega, Cecilia Pareso, Ester Bulaya, Agnes Lambart, ...
Unguja. Wakati awamu ya pili ya uandikishaji wa daftari la kudumu la wapigakura ikianza mikoa ya Unguja, Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imewataka wananchi wenye sifa kujiandikisha ili ...